Kolmani wa Dromore
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kolmani wa Dromore (pia: Mocholmóc; alifariki karne ya 6) alikuwa abati[1][2][3] wa monasteri aliyoianzisha huko Dromore[4], halafu pia askofu wa mji huo[5] katika kisiwa cha Ireland. Alijitahidi sana kueneza imani ya Kikristo katika eneo la Down[6].
Pengine anachanganywa na Kolmani mwingine aliyekuwa askofu katika Visiwa vya Orkney huko Uskoti na kufariki mwaka 1010 hivi[7][8].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu. Papa Leo XIII alithibitisha heshima hiyo tarehe 19 Juni 1902[9].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads