Hua

From Wikipedia, the free encyclopedia

Hua
Remove ads

Hua ni ndege wa jenasi mbalimbali wa nusufamilia Columbinae katika familia Columbidae. Spishi nyingine huitwa tetere, kuyu au fumvu. Wana rangi kijivu, kahawia na nyupe na spishi nyingi zina rangi pinki. Jenasi ya Streptopelia inatoka Afrika lakini spishi kadhaa zimeingia Ulaya na Asia. Hua mkufu wa Ulaya na hua madoa (Spotted Dove) wamewasilishwa katika Marekani. Hua hula mbegu, matunda, mimea na pengine wadudu. Hulijenga tago lao la vijiti kwa miti au miwamba au ardhini kati ya manyasi. Jike huyataga mayai mawili kwa kawaida.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads