Landelini wa Crespin
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Landelini wa Crespin (pia: wa Lobbes; Pas-de-Calais, 625 hivi - Crespin, Hainault, leo nchini Ufaransa, 686 hivi) alikuwa kwanza jambazi kutoka familia tajiri.
Baada ya kuongoka kwa msaada wa Autberi, akawa mmonaki, halafu abati wa monasteri alizoanzisha chini ya kanuni ngumu ya Kolumbani[1] [2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[4].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads