Landelini wa Crespin

From Wikipedia, the free encyclopedia

Landelini wa Crespin
Remove ads

Landelini wa Crespin (pia: wa Lobbes; Pas-de-Calais, 625 hivi - Crespin, Hainault, leo nchini Ufaransa, 686 hivi) alikuwa kwanza jambazi kutoka familia tajiri.

Thumb
Mt. Landelini akimuomba Bikira Maria.

Baada ya kuongoka kwa msaada wa Autberi, akawa mmonaki, halafu abati wa monasteri alizoanzisha chini ya kanuni ngumu ya Kolumbani[1] [2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[4].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Juni[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads