Lidano

From Wikipedia, the free encyclopedia

Lidano
Remove ads

Lidano, O.S.B. (Antinum, 1026 - Monte Cassino, 1118[1]) alikuwa abati Mbenedikto anayesifiwa kwa kukausha madimbwi ya Lazio kusini, Italia, na kwa kuanzisha[2] monasteri ya Sezze katika Dola la Papa[3].

Thumb
Nyumba alipozaliwa.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Julai[4].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads