Lisini wa Angers

From Wikipedia, the free encyclopedia

Lisini wa Angers
Remove ads

Lisini wa Angers (kwa Kilatini: Licinius; kwa Kifaransa: Lezin, Lésin; 540 hivi - 610 hivi[1]) alikuwa kwanza mwanasiasa na mtawala, halafu mmonaki, na hatimaye askofu wa 14 wa mji huo, leo nchini Ufaransa, kuanzia mwaka 592 hivi[2], akianzisha monasteri alimozikwa.

Thumb
Charlotte de Ferré na Mt. Lisini katika kioo cha rangi, La Chapelle-Janson (Ille-et-Vilaine).

Papa Gregori I alimuandikia awakaribishe wamonaki waliotumwa kuinjilisha Uingereza. [3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Novemba[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads