Lubensi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Lubensi
Remove ads

Lubensi (kwa Kilatini na Kijerumani: Lubentius; 300 hivi - Kobern, karibu na Koblenz, katika Ujerumani wa leo, 370 hivi) alikuwa padri[1] mfuasi wa Martino wa Tours aliyetumwa na askofu Masimino wa Trier kama mmisionari kwenye bonde la mto Lahn[2][3].

Thumb
Sanamu yanamotunzwa masalia yake huko Dietkirchen.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Oktoba[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads