Lusido

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Lusido, O.S.B. (Aquara, Campania, 960 hivi - Cassino, Lazio, 5 Desemba 1038) alikuwa abati nchini Italia aliyeanzisha monasteri ya Kibenedikto[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Papa Leo XIII alithibitisha heshima hiyo tarehe 8 Januari 1880.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe ya kifo chake [2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads