Madelberta

From Wikipedia, the free encyclopedia

Madelberta
Remove ads

Madelberta (pia: Madelberte, Machtelberthe; Ufaransa karne ya 7 - Maubege, leo nchini Ufaransa, 705 hivi) alikuwa bikira aliyeongoza monasteri ya Maubege kama abesi chini ya kanuni ya Kolumbani kuanzia mwaka 697 baada ya dada yake, Aldetruda.

Thumb
Mt. Madelberta alivyochorwa.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 7 Septemba[1].

Remove ads

Familia

Mtoto wa wazazi wa koo mashuhuri, Visenti Madelgari na Vatrude, alikuwa mdogo wa Landeriki, Dentelini na Adeltruda, ambao wote watano ni watakatifu pia [2].

Tanbihi

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads