Madelberta
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Madelberta (pia: Madelberte, Machtelberthe; Ufaransa karne ya 7 - Maubege, leo nchini Ufaransa, 705 hivi) alikuwa bikira aliyeongoza monasteri ya Maubege kama abesi chini ya kanuni ya Kolumbani kuanzia mwaka 697 baada ya dada yake, Aldetruda.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 7 Septemba[1].
Remove ads
Familia
Mtoto wa wazazi wa koo mashuhuri, Visenti Madelgari na Vatrude, alikuwa mdogo wa Landeriki, Dentelini na Adeltruda, ambao wote watano ni watakatifu pia [2].
Tanbihi
Tazama pia
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads