Vatrude
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Vatrude (pia: Waudru; Waldetrudis; Waltraud; Valdetrudis, Valtrudis, Waltrudis; Cousolre, Ufaransa 612 hivi - Mons, leo nchini Ubelgiji, 687 hivi), alikuwa mwanamke aliyeanzisha monasteri na kuiongoza kama abesi chini ya kanuni ya Kolumbani.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Maisha
Mtoto wa wazazi wa koo mashuhuri, Walbert na Bertila[2], na dada wa Aldegunda, aliolewa na Visenti Madelgari na kumzalia watoto 4 (Landeriki, Dentelini, Aldetruda na Madelberta), ambao wote nane ni watakatifu[3][4].
Watoto walipokuwa wamekua, mumewe alitawa, na miaka miwili baadaye hata yeye alijifungia upwekeni, ila alifuatwa na wanawake wengi[5].
Tanbihi
Tazama pia
Marejeo ya Kiswahili
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads