Main (mto)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Main (mto)
Remove ads

Main ni mto nchini Ujerumani. Ina urefu wa kilomita 524 ikiwa ni tawimto kubwa la mto Rhine. Uvujaji wake wa wastani katika Bandari ya Frankfurt Mashariki ni mita za ujazo 190 kwa sekunde. Inatiririka kupitia majimbo ya Bavaria, Hesse na kuwa mpaka kati ya Bavaria na Baden-Württemberg.

Thumb
Mto Main ukipitia Frankfurt.

Jiji kubwa zaidi kwenye Main ni Frankfurt am Main, mengine ni Bayreuth, Bamberg, Würzburg, Hanau na Offenbach[1].

Sehemu ya katikati ya bonde lake kuna mashamba mengi ya mizabibu. Meli ndogo kwenye Main hubeba mizigo kupitia Mfereji wa Rhine-Main-Danubi hadi Ulaya Mashariki na Bahari Nyeusi.[2].

Thumb
Main (nyeusi) kati ya mito ya nchini Ujerumani
Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads