Main (mto)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Main ni mto nchini Ujerumani. Ina urefu wa kilomita 524 ikiwa ni tawimto kubwa la mto Rhine. Uvujaji wake wa wastani katika Bandari ya Frankfurt Mashariki ni mita za ujazo 190 kwa sekunde. Inatiririka kupitia majimbo ya Bavaria, Hesse na kuwa mpaka kati ya Bavaria na Baden-Württemberg.

Jiji kubwa zaidi kwenye Main ni Frankfurt am Main, mengine ni Bayreuth, Bamberg, Würzburg, Hanau na Offenbach[1].
Sehemu ya katikati ya bonde lake kuna mashamba mengi ya mizabibu. Meli ndogo kwenye Main hubeba mizigo kupitia Mfereji wa Rhine-Main-Danubi hadi Ulaya Mashariki na Bahari Nyeusi.[2].
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads