Mariana wa Molokai

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mariana wa Molokai
Remove ads

Mariana wa Molokai au Marianne Cope (jina la awali kwa Kijerumani likiwa Maria Anna Barbara Koob; Heppenheim, Hesse, 23 Januari 1838 - Kalaupapa, Hawaii, leo nchini Marekani, 9 Agosti 1918) alikuwa mtawa wa Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko.

Thumb
Mt. Marianne Cope muda mfupi kabla hajahamia visiwa wa Hawaii (1883).
Thumb
Mama Marianne Cope karibu na jeneza la Damiano wa Molokai.
Thumb
Mama Marianne Cope (katika baiskeli) siku chache kabla hajafariki dunia.

Alipata umaarufu kwa kuhudumia wakoma hadi kifo chake, mmojawao Damiano wa Molokai [1].

Papa Benedikto XVI alimtangaza mwenye heri tarehe 14 Mei 2005 na mtakatifu tarehe 21 Oktoba 2012.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Januari[2], au 15 Aprili au 9 Agosti[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads