Maurili
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Maurili (pia: Maurilius, Maurille; Milano, Italia, karne ya 4 - Angers, leo nchini Ufaransa, 453) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 423, akijitahidi kufuta ushirikina wa Kipagani mashambani kama alivyoelekezwa na Martino wa Tours ambaye alikuwa amempa upadirisho na kazi ya uchungaji [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu [2].
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Septemba [3].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads