Mena wa Konstantinopoli

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mena wa Konstantinopoli
Remove ads

Mena wa Konstantinopoli (mzaliwa wa Aleksandria (Misri), alifariki Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 25 Agosti 552) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 536 hadi kifo chake.

Thumb
Picha yake.

Alipewa daraja hiyo na Papa Agapeto I na hivyo farakano lililotokea wakati wa Papa Vigilio lilikwisha kwa muda fulani [1].

Alitabaruku basilika la Hagia Sofia lililojengwa na kaisari Justiniani I kwa heshima ya Hekima ya Mungu [2].

Anaheshimiwa tangu kale na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Agosti[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads