Mena wa Konstantinopoli
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mena wa Konstantinopoli (mzaliwa wa Aleksandria (Misri), alifariki Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 25 Agosti 552) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 536 hadi kifo chake.

Alipewa daraja hiyo na Papa Agapeto I na hivyo farakano lililotokea wakati wa Papa Vigilio lilikwisha kwa muda fulani [1].
Alitabaruku basilika la Hagia Sofia lililojengwa na kaisari Justiniani I kwa heshima ya Hekima ya Mungu [2].
Anaheshimiwa tangu kale na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads