Mkoa wa Erongo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Erongo
Remove ads

Mkoa wa Erongo ni mmoja kati ya mikoa 13 ya kujitawala ya Namibia wenye wakazi 107,629 kwenye eneo la km² 63,720.

Thumb
Mahali pa Erongo katika Namibia.

Mji mkuu ni Swakopmund.

Jiografia

Miji mikubwa ni pamoja na Walvis Bay na Swakopmund.

Swakop na Kuiseb ni mito muhimu zaidi.

Picha

Tovuti za Nje

Ukweli wa haraka


Maelezo zaidi Mikoa ya Namibia ...
Makala hii kuhusu maeneo ya Namibia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Erongo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads