Mkoa wa Khomas

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Khomas
Remove ads

Mkoa wa Khomas ni moja ya mikoa 13 ya kujitawala ya Namibia lenye wakazi 250,305 (2001) kwenye eneo la 36,805 km². Mji mkuu ni Windhoek.

Thumb
Mahali pa Khomas katika Namibia

Jiografia

Miji mikubwa ni pamoja na Windhoek na Katutura.

Swakop na Kuiseb ni mito muhimu zaidi.

Picha za Khomas


Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu maeneo ya Namibia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Khomas kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Maelezo zaidi Mikoa ya Namibia ...
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads