Mkoa wa Ohangwena

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Ohangwena
Remove ads

Mkoa wa Ohangwena ni mmoja ya mikoa 13 ya kujitawala ya Namibia wenye wakazi 227,728 kwenye eneo la km² 10,582.

Thumb
Mahali pa Ohangwena katika Namibia

Mji mkuu ni Eenhana.

Jiografia

Miji mikubwa ni pamoja na Eenhana na Oshikango.

Ukweli wa haraka


Maelezo zaidi Mikoa ya Namibia ...
Makala hii kuhusu maeneo ya Namibia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Ohangwena kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads