Mkoa wa Oshana

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Oshana
Remove ads

Mkoa wa Oshana ni moja ya mikoa 13 ya kujitawala ya Namibia lenye wakazi 161,977 kwenye eneo la 5,290 km². Mji mkuu ni Oshakati.

Thumb
Mahali pa Oshana katika Namibia

Jiografia

Miji mikubwa ni pamoja na Oshakati, Ondangwa na Ongwediva.

Picha za Oshana

Viungo vya nje

Ukweli wa haraka


Maelezo zaidi Mikoa ya Namibia ...
Makala hii kuhusu maeneo ya Namibia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Oshana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads