Mkoa wa Kavango

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Kavango
Remove ads

Mkoa wa Kavango ni moja ya mikoa 13 ya kujitawala ya Namibia lenye wakazi 201,093 kwenye eneo la 43,418 km². Mji mkuu ni Rundu.

Thumb
Mahali pa Kavango katika Namibia

Jiografia

Miji mikubwa ni pamoja na Rundu na Nkurenkuru.

Okavango na Kwando ni mito muhimu zaidi.

Picha za Kavango

Tovuti za Nje

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu maeneo ya Namibia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Kavango kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Maelezo zaidi Mikoa ya Namibia ...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads