Mnadhiri

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mnadhiri
Remove ads

Mnadhiri (kutoka Kiebrania נזיר, nazir, maana yake "aliyewekwa wakfu" au "aliyetengwa"[1][2]) katika Biblia ni mtu mwenye nadhiri iliyoratibiwa na Hes 6:1–21.

Thumb
Samsoni na simba, mchoro wa Francesco Hayez (1842).

Humo tunasikia masharti ya nadhiri:

Kati ya wanadhiri wa kudumu walio maarufu zaidi kuna Samsoni na Yohane Mbatizaji.

Remove ads

Tanbihi

Loading content...

Marejeo

Loading content...

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads