Modoaldi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Modoaldi
Remove ads

Modoaldi (Akwitania, leo nchini Ufaransa, 584/590 - Trier, leo nchini Ujerumani, 12 Mei 645/648) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 620 hivi[1].

Thumb
Msalaba wa Mt. Modoaldi.

Kabla ya kuchaguliwa alifanya kazi ikulu bila kupendezwa na maadili mabovu ya huko[2].

Baadaye alijenga na kupamba makanisa na kuanzisha monasteri mbalimbali na jumuia za mabikira kwa kusaidiana na dada yake Severa, ambaye hatimaye alizikwa karibu naye [3] [4].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 12 Mei[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads