Morandi wa Cluny

From Wikipedia, the free encyclopedia

Morandi wa Cluny
Remove ads

Morandi wa Cluny, O.S.B. (Worms, Ujerumani, 1050 hivi; Altkirch, leo nchini Uswisi, 1115), alikuwa padri ambaye, baada ya kuhiji Santiago de Compostela (Hispania), alijiunga na monasteri ya Wabenedikto wa Cluny (Ufaransa).

Thumb
Mt. Morandi, 1900
Thumb
Mt. Morandi, 1890

Morandi alitumwa na abati Hugo wa Cluny kwanza Auvergne, halafu karibu na Basel alipotawa hadi mwisho wa maisha yake[1].

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Juni[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads