Morandi wa Douai

From Wikipedia, the free encyclopedia

Morandi wa Douai
Remove ads

Morandi wa Douai (pia: Maurand, Maurant, Mauront, Morand, Maurontus; 634 - 5 Mei 702) alikuwa mmonaki shemasi nchini Ufaransa ambaye alianzisha monasteri ya Kibenedikto ya Breuil, akawa abati wake wa kwanza [1][2][3][4].

Thumb
Sanamu ya Mt. Morandi.

Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu, sawa na wazazi wake, Adalbati na Rikitrude, na dada zake wote watatu, Klotsinda, Adalsinda na Eusebia wa Douai, mwenyewe akiwa mtoto wa nne na wa mwisho.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Mei[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads