Mosul

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mosul
Remove ads

Mosul (kwa Kiarabu الموصل, al-Mawṣil, el-Mōṣul; kwa Kikurdi مووسڵ, kwa Kiaramu ܡܘܨܠ, Māwṣil) ni mji wa Iraq kaskazini, kilometa 400 hivi mbali na Baghdad, kwenye ukingo wa magharibi wa mto Tigris, mkabala wa mji wa kale Ninawi uliokuwa kwenye ukingo wa mashariki.

Thumb
Ramani ya Mosul.
Thumb
Mji wa Iraq wa Mosul

Jiji lina wakazi 1,846,500 (2004)[1]wa makabila, dini na madhehebu mbalimbali[2][3][4].

Tanbihi

Vyanzo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads