Papa Benedikto II

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Benedikto II
Remove ads

Papa Benedikto II alikuwa Papa kuanzia tarehe 26 Juni 684 hadi kifo chake tarehe 8 Mei 685[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2][3].

Thumb
Mt. Benedikto II.

Jina la baba yake lilikuwa Yohane.

Alimfuata Papa Leo II akafuatwa na Papa Yohane V.

Mwimbaji wa Kanisa tangu utotoni, alijulikana kwa ujuzi wa Biblia na muziki. Pia alipenda ufukara, alikuwa mpole na mnyenyekevu, na kung'aa kwa uvumilivu na huruma kwa wahitaji [4].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads