Papa Boniface IV

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Boniface IV
Remove ads

Papa Boniface IV, O.S.B. (takriban 5508 Mei 615) alikuwa Papa kuanzia tarehe 25 Agosti 608 hadi kifo chake[1]. Alitokea mkoa wa Abruzzi, Italia[2][3]. Baba yake alikuwa tabibu, jina lake Yohane.

Thumb
Papa Bonifasi IV.

Alimfuata Papa Bonifasi III akafuatwa na Papa Adeodato I.

Chini ya Papa Gregori I alikuwa shemasi mkuu[4].

Alistawisha umonaki na kugeuza Pantheon, hekalu la miungu yote mjini Roma, kuwa kanisa kwa heshima ya Bikira Maria na wafiadini wote[5][6].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Mei[7].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads