Papa Eugenio I

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Eugenio I
Remove ads

Papa Eugenio I alikuwa Papa kuanzia tarehe 10 Agosti 654 hadi kifo chake tarehe 2 Juni 657[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2]. Baba yake aliitwa Rufinianus.

Thumb
Papa Eugenio I.

Alimfuata Papa Martin I akafuatwa na Papa Vitalian.

Serikali ya Dola la Roma Mashariki ilimpitisha kwa kudhani atakubali kuunga mkono uzushi uliofundisha kuwa Yesu hakuwa na utashi wa kibinadamu, kumbe mapadri walimlazimisha kushika msimamo wa mtangulizi wake aliyepelekwa uhamishoni akafa huko [3].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 2 Juni.[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading content...

Marejeo

Viungo vya nje

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads