Papa Gregori II

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Gregori II
Remove ads

Papa Gregori II alikuwa Papa kuanzia tarehe 19 Mei 715 hadi kifo chake tarehe 11 Februari 731[1][2]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[3].

Thumb
Mt. Gregori II.

Alimfuata Papa Konstantino akafuatwa na Papa Gregori III.

Alimpinga kishujaa Kaisari Leo V kuhusu heshima kwa picha takatifu na kuimarisha mamlaka ya Papa katika Kanisa la Magharibi [4].

Ndiye aliyemtuma Bonifasi kuinjilisha Ujerumani [5].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu, hasa tarehe 11 Februari[6].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads