Papa Hyginus

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Hyginus
Remove ads

Papa Hyginus alikuwa papa kuanzia takriban 138 hadi kifo chake takriban 142/149[1]. Alitokea Ugiriki.

Thumb
Papa Hyginus.

Alimfuata Papa Telesphorus akafuatwa na Papa Pius I.

Alipanga vizuri zaidi daraja takatifu na hasa huduma za chini pamoja na kupambana na uzushi wa Gnosi[2] hata kwa kutumia falsafa[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 11 Januari[4].

Remove ads

Tazama pia

Maandishi yake

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads