Papa Telesphorus

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Telesphorus
Remove ads

Papa Telesphorus alikuwa Papa kuanzia takriban 127/128 hadi kifo chake takriban 137/138[1]. Alikuwa na asili ya Ugiriki[2][3].

Thumb
Papa Telesphorus

Alimfuata Papa Sixtus I akafuatwa na Papa Hyginus.

Alishughulikia liturujia ya Kanisa la Roma[4] bila kulazimisha majimbo mengine hata katika suala la Pasaka ya Kikristo lililoanza kujitokeza[5]. Kinyume chake, alipambana na uzushi wa Gnosi uliozidi kuenea jijini[6].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini[7].

Sikukuu yake ni tarehe 2 Januari[8].

Remove ads

Tazama pia

Maandishi yake

  • (kutoka Documenta Catholica Omnia, kwa Kilatini)

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads