Papa Telesphorus
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Telesphorus alikuwa Papa kuanzia takriban 127/128 hadi kifo chake takriban 137/138[1]. Alikuwa na asili ya Ugiriki[2][3].

Alimfuata Papa Sixtus I akafuatwa na Papa Hyginus.
Alishughulikia liturujia ya Kanisa la Roma[4] bila kulazimisha majimbo mengine hata katika suala la Pasaka ya Kikristo lililoanza kujitokeza[5]. Kinyume chake, alipambana na uzushi wa Gnosi uliozidi kuenea jijini[6].
Remove ads
Tazama pia
Maandishi yake
- (kutoka Documenta Catholica Omnia, kwa Kilatini)
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads