Papa Romanus
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Romanus alikuwa Papa kuanzia Julai/Agosti hadi Novemba 897[1]. Alitokea Gallese, Lazio, Italia[2].

Alimfuata Papa Stefano VI. Baada ya miezi michache tu aliondoshwa madarakani akafuatwa na Papa Theodor II.
Tarehe kamili ya kufariki kwake haijulikani.
Tazama pia
Maandishi yake
- Opera Omnia kadiri ya Migne katika Patrologia Latina pamoja na faharasa
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads