Papa Stefano VI
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Stefano VI alikuwa Papa kuanzia Mei/Juni 896 hadi kifo chake mnamo Julai/Agosti 897[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Alimfuata Papa Bonifasi VI akafuatwa na Papa Romanus.
Anajulikana hasa kwa kuchimbua na kunajisi maiti ya Papa Formosus. Mwenyewe aliuawa kwa tendo hilo.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads