Papa Stefano VI

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Stefano VI
Remove ads

Papa Stefano VI alikuwa Papa kuanzia Mei/Juni 896 hadi kifo chake mnamo Julai/Agosti 897[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Thumb
Papa Stefano VI.

Alimfuata Papa Bonifasi VI akafuatwa na Papa Romanus.

Anajulikana hasa kwa kuchimbua na kunajisi maiti ya Papa Formosus. Mwenyewe aliuawa kwa tendo hilo.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads