Papa Theodor II
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Theodor II alikuwa Papa kwa siku ishirini tu hadi kifo chake mwezi wa Desemba 897 au Januari 898[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa pia lilikuwa Theodorus.
Alimfuata Papa Romanus akafuatwa na Papa Yohane IX.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads