Papa Stefano IV
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Stefano IV alikuwa Papa kuanzia tarehe 22 Juni 816 hadi kifo chake tarehe 24 Januari 817[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Jina la baba yake lilikuwa Marinus (ambaye asichanganywe na Papa Marinus I aliyetawala 882-884).
Stefano IV alimfuata Papa Leo III akafuatwa na Papa Paskali I.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads