Papa Stefano VII

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Stefano VII
Remove ads

Papa Stefano VII alikuwa Papa kuanzia mwezi wa Januari 929 hadi kifo chake mwezi wa Februari 931[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Thumb
Papa Stefano VII.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Stefano de Gabrielli.

Alimfuata Papa Leo VI akafuatwa na Papa Yohane XI.

Stefano VII alikuwa Papa huku Papa Yohane X akiwa bado hai kifungoni.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads