Papa Leo VI
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Leo VI alikuwa Papa kuanzia mwezi wa Mei au Juni 928 hadi kifo chake mwezi wa Desemba 928 au Januari 929[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa pia lilikuwa Leo.
Alimfuata Papa Yohane X akafuatwa na Papa Stefano VII.
Leo VI alikuwa Papa huku Yohane X akiwa bado hai kifungoni.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads