Papa Simako

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Simako
Remove ads

Papa Simako (kwa Kilatini: Symmachus) alikuwa Papa kuanzia tarehe 22 Novemba 498 hadi kifo chake tarehe 19 Julai 514[1]. Alitokea Sardinia, Italia[2] akaja kubatizwa Roma.

Thumb
Mozaiki ya Papa Simako.

Alimfuata Papa Anastasio II akafuatwa na Papa Hormisdas.

Kwa muda mrefu alipaswa kukabili upinzani mkali wa antipapa Laurentius[3][4][5] na wafuasi wake wengi[6].

Alikomboa Wakristo waliofanywa watumwa na Wavandali na kusaidia waliokimbia dhuluma yao.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa kwenye tarehe ya kifo chake[7].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads