Papa Simako
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Simako (kwa Kilatini: Symmachus) alikuwa Papa kuanzia tarehe 22 Novemba 498 hadi kifo chake tarehe 19 Julai 514[1]. Alitokea Sardinia, Italia[2] akaja kubatizwa Roma.

Alimfuata Papa Anastasio II akafuatwa na Papa Hormisdas.
Kwa muda mrefu alipaswa kukabili upinzani mkali wa antipapa Laurentius[3][4][5] na wafuasi wake wengi[6].
Alikomboa Wakristo waliofanywa watumwa na Wavandali na kusaidia waliokimbia dhuluma yao.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads