Papa Yohane II

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Yohane II
Remove ads

Papa Yohane II alikuwa Papa kuanzia tarehe 31 Desemba 532/2 Januari 533 hadi kifo chake tarehe 8 Mei 535[1]. Alitokea Roma, Italia[2] na kuitwa kwanza Mercurius. Kwa kuwa hilo lilikuwa jina la mungu mmojawapo wa Kirumi alilibadilisha, akiwa labda mwanzilishi wa desturi hiyo ya Papa kujichagulia jina jipya[3].

Thumb
Papa Yohane II.

Alimfuata Papa Boniface II akafuatwa na Papa Agapeto I.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads