Papa Boniface II

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Boniface II
Remove ads

Papa Boniface II alikuwa Papa kuanzia tarehe 20/22 Septemba 530 hadi kifo chake tarehe 17 Oktoba 532[1][2]. Alitokea Roma, Italia[3], lakini alikuwa Mwostrogoti, Papa wa kwanza mwenye asili ya Kigermanik[4].

Thumb
Papa Bonifasi II.

Alimfuata Papa Felisi IV akafuatwa na Papa Yohane II.

Aliteuliwa na mtangulizi wake awawekwa wakfu na kuvishwa taji la kipapa tarehe 22 Septemba 530. Mpinzani wake, antipapa Dioscorus, aliyechaguliwa na wingi wa mapadri wa Roma, aliwekwa wakfu siku hiyohiyo lakini alifariki siku 22 baadaye.

Uamuzi muhimu zaidi aliouchukua ni kupitisha mafundisho ya Mtaguso wa Orange (529) kuhusu haja ya neema kwa wokovu[5].

Mazishi yake yalifanyika tarehe 17 Oktoba 532.

Remove ads

Tazama pia

Maandishi yake

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads