Papa Yohane XII

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Yohane XII
Remove ads

Papa Yohane XII (takriban 93714 Mei 964) alikuwa Papa kuanzia tarehe 16 Desemba 955 hadi kifo chake[1]. Alitokea Lazio, Italia[2].

Thumb
Picha inayotumika kama yake, ingawa alipofariki alikuwa na umri wa miaka 27 tu.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Octavian[3], akiwa mzao wa Karolo Mkuu, vizazi saba kutoka kwake.

Alikuwa akihusiana na ukoo wa Tusculum na mwanachama wa familia mashuhuri ya Teofilatto ambayo ilikuwa imesimamia siasa za Mapapa kwa zaidi ya nusu karne. Upapa wake ukawa mbaya kwa madai ya udhalimu na maadili mabovu.

Alimfuata Papa Agapeto II akafuatwa na Papa Benedikto V.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads