Papa Yohane XII
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Yohane XII (takriban 937 – 14 Mei 964) alikuwa Papa kuanzia tarehe 16 Desemba 955 hadi kifo chake[1]. Alitokea Lazio, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Octavian[3], akiwa mzao wa Karolo Mkuu, vizazi saba kutoka kwake.
Alikuwa akihusiana na ukoo wa Tusculum na mwanachama wa familia mashuhuri ya Teofilatto ambayo ilikuwa imesimamia siasa za Mapapa kwa zaidi ya nusu karne. Upapa wake ukawa mbaya kwa madai ya udhalimu na maadili mabovu.
Alimfuata Papa Agapeto II akafuatwa na Papa Benedikto V.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads