Papa Benedikto V

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Benedikto V
Remove ads

Papa Benedikto V alikuwa Papa kuanzia Mei 964 hadi tarehe 4 Julai 964 au 965[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Thumb
Papa Benedikto V.

Jina lake la kuzaliwa halijulikani.

Alimfuata Papa Leo VIII akafuatwa na Papa Yohane XIII.

Alilazimishwa kujiuzulu na Kaisari Otto I wa Ujerumani aliyempeleka kwenda mji wa Hamburg alipofariki tarehe 4 Julai 966.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads