Papa Yohane XV

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Yohane XV
Remove ads

Papa Yohane XV alikuwa Papa kuanzia Agosti 985 hadi kifo chake mnamo Machi 996[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Thumb
Papa Yohane XV.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa pia Yohane.

Alimfuata Papa Yohane XIV akafuatwa na Papa Gregori V.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads