Parisi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Parisi
Remove ads

Parisi, O.S.B. Cam. (Bologna, Italia, 1160Treviso, 11 Juni 1267) alikuwa mmonaki tangu umri wa miaka 12 hadi alipofariki anayo 108[1].

Thumb
Mt. Parisi alivyochorwa.

Kati ya miaka hiyo yote, aliitumia 77 iliyofuata upadrisho wake (1191) katika kuongoza kiroho monasteri ya masista wa shirika lake pamoja na kuhudumia wageni na wagonjwa walioifikia monasteri hiyo[2].

Kutokana na miujiza mingi iliyotokea kwa maombezi yake akiwa hai na baada ya kifo chake, askofu wa Treviso, Alberto Ricco, alimtangaza mtakatifu tarehe 25 Novemba 1268[3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Juni[4][5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads