Paterni wa Avranches
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Paternus (au Paterne, Patier, Pair, Padarn; Poitiers, mwisho wa karne ya 5 - Scissy, 565 hivi) alikuwa abati aliyeanzisha monasteri mbalimbali hadi Bretagne (Ufaransa) akawa askofu wa Avranches, Normandy kuanzia mwaka 552 hadi kifo chake [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo ya Kiswahili
Marejeo ya Kifaransa
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads