Proto na Yasinto
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Proto na Yasinto (walifariki 257/259) ni kati ya Wakristo wa Misri waliofia imani yao huko Roma, Italia, katika dhuluma ya kaisari Valerian.

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama watakatifu wafiadini.
Papa Damaso I aliwasifu kwa mashairi na kutoa masalia yao ardhini. Karne 15 baadaye vimepatikana tena huko kaburi la Yasinto zima kabisa na mifupa yake imeunguzwa kwa moto kutokana na jinsi alivyouawa [1].
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 11 Septemba[2] au 24 Desemba.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads