Chatu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Chatu
Remove ads
Remove ads

Chatu ni spishi za nyoka katika jenasi Python wa familia Pythonidae. Kwa sababu hawana sumu lazima waue mawindo yao kwa njia nyingine. Kwa hivyo huzongamea mwili wao kuzunguka kidari cha mawindo kisha kubana kwa nguvu ili kuzuia mawindo asipumue mpaka afe halafu hummeza mzima.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Kwa kawaida chatu ni miongoni mwa majoka makubwa ambayo upata mawindo yake kwa kuvizia au kutega katika njia wapitamo mawindo. Kwa kawaida chatu hukamata wanyama wadogo kiasi kama vile panya, sungura, kanga, mbwa, mbuzi na paa. Spishi kubwa kama chatu kaskazini zinaweza kumeza ndama wa wanyama wakubwa kama vile swala, nyumbu, pofu, kondoo na ng'ombe, na hata binadamu na watoto wake lakini kwa nadra tu. Kwa hivyo kiumbe huyu inaweza kuwa hatari kwa maisha ya viumbe hai wengine.

Chatu kulingana na maumbile yao wapo wa aina kuu mbili yaani wembamba na wanene. Chatu wembamba mara nyingi hupatikana hasa katika maeneo ya milimani na chatu wanene hupatikana na upendelea kuishi hasa katika maeneo ya bondeni.

Remove ads

Spishi za Afrika

Spishi za Asia

Remove ads

Picha

Marejeo

  • Spawls, S., Howell, K., Drewes, R. & Ashe, J. (2002) A field guide to the Reptiles of East Africa. Academic Press, San Diego, CA, USA.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chatu kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads