Robati wa Molesme

From Wikipedia, the free encyclopedia

Robati wa Molesme
Remove ads

Robati wa Molesme (Troyes, Champagne, Ufaransa, 1028 - Molesme, Ufaransa, 17 Aprili 1111) alikuwa mmonaki[1], padri, abati na mwanzilishi wa monasteri mbalimbali wa shirika la Benedikto wa Nursia na vilevile kiongozi wa wakaapweke wengi.

Thumb
Sanamu yake iliyochongwa katika karne ya 16.

Katika juhudi zake kwa ajili ya maisha ya kimonaki manyofu na magumu zaidi, hatimaye alianzisha urekebisho muhimu wa Citeaux [2][3].

Alitangazwa na Papa Honori III kuwa mtakatifu mwaka 1222.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 17 Aprili[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads