Robati wa Newminster

From Wikipedia, the free encyclopedia

Robati wa Newminster
Remove ads

Robati wa Newminster (Craver, North Yorkshire, Uingereza, 1100 hivi – Morpeth, Northumbria, 7 Juni 1159) alikuwa padri mwanajimbo, tena paroko, ambaye aliingia monasteri ya Wabenedikto[1] ambayo baadaye ilijiunga na urekebisho wa Citeaux[2]. Kisha kuishi huko miaka minne alipata kuwa abati wa monasteri mpya (kwa Kiingereza cha Kale Newminster) akiiongoza na kuistawisha kwa miaka 21 hadi kifo chake[2].

Thumb
Sanamu yake ndogo katika mimbari ya Baumgartenberg, Austria.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads