Saar
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Saar (Kijerumani: Saarland) ni moja ya majimbo 16 ya kujitawala ya Ujerumani lenye wakazi milioni 1,022 kwenye eneo la 2.568 km². Mji mkuu ni Saarbrücken. Waziri mkuu ni Annegret Kramp-Karrenbauer (CDU).



Jiografia
Saarland imepakana na majimbo ya Ujerumani ya Rhine-Palatino.
Miji mikubwa ni pamoja na Saarbrücken na Saarlouis.
Mto Saar na Mosel ni mito muhimu zaidi.
Picha za Thuringia
- Mto Saar
Tovuti za Nje
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Saar kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads