Siardi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Siardi
Remove ads

Siardi, O.Prem. (karne ya 12Mariengaard, leo nchini Uholanzi, 13 Novemba 1230) alikuwa kanoni wa shirika la Premontree aliyeongoza kwa miaka 36 kama abati monasteri alipofariki.

Thumb
Mt. Siardi akisali.

Alikuwa maarufu kwa kushika kikamilifu kanuni na kuwakirimu maskini [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Benedikto XIII mwaka 1728.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Novemba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads