Saint Paul, Minnesota

From Wikipedia, the free encyclopedia

Saint Paul, Minnesota
Remove ads

Saint Paul ni jina la mji mkuu wa jimbo la Minnesota huko nchini Marekani. Upo katika eneo la Mto Mississippi kutoka Minneapolis. Pale watu wanapozungumzia kuhusu miji hii, wanaiita Miji Pacha. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2000, mji una wakazi wapatao 300,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 214 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 145.5 km².

Thumb
Mji wa Saint Paul, Minnesota
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Thumb
Mahali pa St. Paul katika Ramsey County na Minnesota
Remove ads

Viungo vya Nje

Ukweli wa haraka


Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Saint Paul, Minnesota kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads